Posts

KITANZI CHA DHAHABU SEHEMU YA KWANZA (1)

Image
Add caption                                        KITANZICHA DHAHABU   Hallo baby leo ni weekend!                   vipi s'utanipeleka pale pa siku ile? Aaah! Hapana baby! Kwanini sasa jamani? ni mda Mlefu sana toka ulivonipeleka  Siku Ile alafu nimemiss  sana     Alafu s'unasjua macho yakisha ona pazuli hua yanatamani kubaki Kule kule lakini? Usinnifanyie ivo bhana!   Ok nimekuelewa mpenzi wangu but, kwa siku ya leo nilimuahida mother kua nashinda nae kutwa nzima. kwa sabababu ya kutokua karibu nae kwa kipindi kilefu kutokana na purukushani za kazi na mambo mengine ya hapa na pale. kwa hio naona itakua ngumu kidogo. Aaaah! hapo nimekuelewa but, nitakuja basi tushiriki lunch ...

hadithi ya Paul na Sarah sehemu ya6

Image
PAUL ALIPOFIKA KATIKA ENEO ALILOELEKEZWA, HAKUAKAUTA WATU HAWA. NA ALIVYOPIGA SIMU YA MKEWE ALIAMBIWA KUA WAPO KATIKA PARKING YA HOSPITAL HIO. LAKINI ALIVYOFIKA KATIKA PARKING HIO ALIMKUTA MKEWE AKIWA PEKE YAKE. NA ALIVYOULIZA KUHUSU MTU ALIETOA MSAADA ALIAMBIWA NA MKEWE KUA BAADA YA KUONA HALI YAKE IMEREJEA ILIBIDI MTU HUYO AENDEREE NA SHUGULI ZAKE.     Paul; lakini kwa nini mtu huyu hajanisubiri ili nimulipe kwa mda wake? Sarah; lakini yeye hakua na uhitaji na malipo na ndio maana hajaomba chochote na akaondoka zake. Paul; lakini tungefahamiana, na ningempa hata shukrani angalau kwa wema wake! Sarah;lakini kama unahisi ni vema kulipa wema kwa wema niliotendewa wala usijali, maana njia za kutenda wema zimejaa tele!-na ebu tuachane na hayo ulipata tarifa kua nimepatwa na tatizo hili kabla hujaanza safari, na ikawa ndio sababu ya kuailisha? au nawwe umepatwa na matatizo Paul kwa hasira: Aaah! me sina tatizo ila kama uko vizuri kwa sasa twende nyumbani. Sarah; Aaah!...

UKWELI UKO WAPI? sehemu ya mwisho

Image
UKWELI HUMUINUA MTUU KUTOKA CHINI KWENDA JUU BASI KIJANA HUYU ALIETAMBULIKA KWA JINA LA ANORD, BAADA YA KUKUTWA NA MANAGER WAO AKIWA AMEBAKI PEKE YAKE,  Anord alilazimika kusema uongo. najua utakua ukijiuliza kwamba kwanini tunazungumzia ukweli, lakini uongo umepata nafasi? Anord alimudanganya manager huyo kua wao hawakumalizia somo walilokua wamwpewa chuoni na kwamba walilazimika kuja kwenye kampuni kwa sababu mda wake ulikua umefika. hivyo baada ya kua wamemaliza kazi wakaona wautumie mda huo kumalizia somo lao.  Mmoja wa wanafunzi waliotoka na kurudi chuoni alikua amesahau external yake wenye computer ya kampuni ikabidi arudi. arishanga sana baada ya kufika hapo na kutokuulizwa kitu chochote na manager wao. kwanza hakutegemea kama angeeza kumkuta kwa wakati huo. Alichukua external yake na akaondoka. alipofika chuoni aliwakalisha wenzake na kuwaeleza kua manager wao karudi, lakini chaajabu hajamuuliza chochote kuhusu wao kutoka kabla ya mda. baadhi yao walijua h...

SARAH&PAUL sehemu ya tano

Image
PAUL AKIKARIBIA LANGO LA GETI LA NYUMBANI KWAKE KWA MBALI ALIHISI KAMA MAJI YANATOKA KATIKA MILANGO YOTE YA NYUMBA YAKE. ALISHUKA KWA HALAKA SANA, LAKINI ALIVYOJARIBU KUSO GEA GETINI KWAKE ALIGUNDUA KUA ENEO LAKE LOTE LIMETANDA SHOTI YA UMEME. Kilichofuata, ilikua kazi ya kutafuta usaidizi kwa wahusika, Na usaidizi ulikuja. Lakini kipindi yote haya yanaendelea Paul alikua mtu mwenye maswali mengi kuhusu mkewe, kwamba kwanini hayupo nyumbani mda huo?, kwanini simu yangu hapokei?, na kama kaogopa ajali hii sababu ni  kwanini hajanipa taarifa au ata kuomba usaidizi? Kumbe Sarah alivyoondoka kutoka nyumbani, kiwewe cha kukutana Jack wake kilimfanya akaacha baadhi ya milango ya nyumba yake ikiwa wazi na kwenye internal bathroom  (bafu yandani) yake maji hakufunga mpaka anondoka nyumbani. Pablo uko aliko na Sarah walicheza sana siku hio, lakini baada ya mda Sarah alihisi kama hali ya msisimko ndani yake. na breki ya kwanzi ilikua kwenye simu yake. alivyiotupia macho kweny...

UKWELI UKO WAPI? sehemu ya kwanza

Image
UKWELI HUMUINUA MTU KUTOKA CHINI MPAKA JUU . UKWELI NDIO NJIA PEKEE IKAYOKUFANYA UISHI UKIWA HURU MAISHA YAKO YOTE. UKWELI UTAKUFANYA UWE MUAMINIFU KATAKA JAMII, FAMILIA,KAZINI,DARASANI NA KWINGINEKO. HIVYO UKWELI HUU UTAYABADILI MAISHA YAKO KUA YENYE FURAHA SIKU ZOTE. ZAIDI FUATILIA KISA HIKI APA CHINI  Alipofikia umri wa pale mtu aanzapo kujitambua, Kijana huyu aliendelea na masomo yake uku akiwa tayari alishaunganishwa na kampuni alipokua akiidhinisha kwa vitendo kile anachokisoma chuoni. Kampuni yao ilifanya mpango ili yeye na wanafunzi wenzake kadhaa wazoezwe kwa siku mbili kwa week na mda huu ulikua ni mda ambao upo nje ya siku za kwenda katika chuo alichokua akisoma. Siku moja, walimaliza masomo mapema kuliko ilivyokuwa kawaida, kulingana na latiba ya chuo icho. Aidha kulingana na sheria za kampuni iliowapa nafasi hizi, siku moja wanafuzi hawa walimaliza kazi waliokua wamepewa, kabla ya mda uliopangwa. Wanafunzi hao walipaswa kubaki na kuendelea na kazi...

Paul&Sarah The first part.........................

Image
In one country it is a European ballot; It grew up with a family of two children, father and mother. One day when a father and mother of the family came from church to home, they were in ten steps from the a church gate  "Salah"  Like the mother of the family and "Paul" As a father of the family. While traveling on the parking lot, "Sarah" saw a man sitting on the bench. after seeing the man, "Sarah" found himself in shock. "Paul": ahhh! "Sarah" is Ok or is there a problem my wife? there was no problem my love, Aaaah! unless I knew my phone forgot me in the church "Sarah replied. and as soon as they got near the area near the man" "Sarah" immediately made a breakdown, and fell down to the bottom. so "The man" after seeing the event had to rise up quickly to help, then raised him from the bottom to the bench. after giving help he wanted asked, asked the question to "Paul": H...

PAUL&SARAH sehemu ya nne(4)

Image
Pablo arijikuta akikosa cha kuongea, baada ya Sarah kuenderea kutililika tena kwa msisitizo kwa mambo mengi warioyafanya wakiwa pamoja. Waliongea mambo mengi mpaka pale giza lilipoanza kutanda. Baada ya hapo Sarah alisimama na kumwambia Pablo kua amemiss kucheza nae kwenye maji na ndio maana mapema alitaka mazungumzo yao yawe ya ufukweni. Pablo alikua hana budi kukubali. waliingia kwenye maji na wakaanza kucheza.   Na baadae kila mmoja wao alilejea kwake. huku Sarah akiwa na furaha kubwa alifika nyumbani kwake na kuakuta wanae wakiwa wamebaha sana kwa kutokumuona mama yao kwa mda mlefu kia hicho, kwani ilikua sio kawaida yao kulejea nyumbani na kutokumkuta mama tena bila ya tarifa. wakiwa wanamuhoji mama yao baba aliingia, "Sarah" my wife" aliita Paul, na Sarah nae shiii!!! aliwanyamanzisha wanae kwa inshala ya kidole kwenye mdomo. kisha "karibu mpenzi" alimkaribisha mmewe. lakini Paul alivomuangaria kwa makini Sarah aligundua Sarah hayupo katika hari...

"USIKU MWEMA"

Image
Neno " USIKU MWEMA" halimaanish kuwa ni mwsho wa cku, bali ni njia yakukuonyesha kuwa nakukumbuka kabla cjalala, nadhan unatambua thamani yako kwangu kua haina kifani, usikumwema ..................... .................................... Hisia njema na nzuri ni pale unapodhani nimekusahau na kukutenga na ghafla ukapata ujumbe wangu kuwa ninakukumbuka,ninakujali na kukuombea, ucku mwema ..................................... . Nikisema "-.-" "m2 muhimu" Namaanisha M2 namthamini, M2 namjali, M2 nampenda, M2 namheshim M2 huyo c mwingine ila ni ww ninayekutakia USIKU MWEMA. ................................ "UPENDO" ni kawaida yangu "CHUKI" SI busara kwangu, "KUISHI" Na watu vizuri ni sehemu ya maisha yangu, kuwasalimu niwapendao ni hulka yangu.. Gd9t ........................ Mimi si Milionea, ila TAJIRI wa MOYO MKUNJUFU! Mie si zaidi, ila nafanya NIWEZALO! Sifanyi sahihi kwa kila jambo,ila kw...

Paul&Sarah Sehemu ya tatu

Image
NA HAPA NDIPO TULIPOISHIA BAADA YA PABLO KUJITAMBULISHA , SARAH YEYE PAMOJA NA KUSHANGAZWA NA JINA ALOPEWA ILIOMBA KUNANA NA PABLO  HALAKA IWEZEKANAVYO.    "Sarah"; ok nimekuelewa "Jack" ila kama hautojali naomba unipe promiss ya kuonana na wewe please! "Pablo" kimoyomoyo mbona tena ananiita Jack?! Aaahh oke nimekuelewa. nitakujulisha kwa sms lini na wapi tukutane. "Sarah"; Ok i have u good day!  "Pablo"; Huyu atakua kavurugwa si bure. Lakiniiii! g'uh! mi sielewi acha niende nikamsikilize. basi walivyokutana yalikua maeneo ya pembezoni kidogo na fukwe moja maalufu uko kwao. na alietangulia kufika alikua Pablo", Sarah"  akiwa kama kwenye umbali wa miita kumi kufika alipo Pablo" akajisemea moyoni; huuu! siamini kama Mungu kanikutanisha na "Jackson" kwa mara nyingine, tena mbali na nyumbani kiasi hiki? au alilazimika kutafuta nikopelekwa baada ya wazazi wangu kunilazimisha kuowana "...

Paul&Sarah Sehemu ya pili

Image
TUNAENDEREA PALE TULIPOISHIA KATIKA SIMULIZI YETU YA "PAUL & SARAH" KARIBU SANA TWENDE PAMOJA  BAADA YA SAFARI YA KUTOKA KANISANI NA PURUKUSHANI ZA BEACH WAKARUDI NYUMBANI NAMAISHA YAKAENDELEA KAMA ILIVYO SIKU ZOTE. Jamaa" yule alivyorudi nyumbani kwake akawa anajiuliza maswali, ivi; 1.Hili linaezekana vipi mtu akiwa na mmewe akani"Approach"tena katika hali ya ku staajabisha? 2.Nimewahi kusoma nae au? lakini mbona simukumbuki? 3.Saraha!!! jina hili mbona ni geni katika maisha yangu 4.Labda kama niliwahi kulijiwa jina hili, nilisoma kwenye; gazeti, vitabu, vipeperushi na kwingingiko. 5.Ilia kukutana nalo ana kwa ana tena katika mazingira ya ajabu kiasi cha kutaka kujitoa roho mbele yangu nikishuhudia!!! 6.Hapa kazi ninayo!!! lakini nitaanzaje kuwasilina na mke wa ambae nina uhakika %1oo kua sitamburiki katika familia yake? maana ingelikua mwanamke huyu ananitambua vema angenitamburisha kwa mmewe. 7.Kinachoniua zaidi ni mazingira yaliotumika kunipa bizn...

NGUVU YA MSAMAHA

Image
NGUVU YA MSAMAHA ​Endeleeni kuvumiliana na kusameheana kwa hiari ikiwa yeyote ana sababu ya kulalamika juu ya mwenzake." Sisi sote hujikwaa mara nyingi.”kumbuka Upendo hufunika maovu yetu megi hasa pale yanapojitkeza mapungufu yetu.                                                Hari ya kutokusamehe,       Humfanya mtu kua katika        Hali ya unyoge       Na mara nyigi hua       Hawachelewi       Kua na maswali yafuatayo:                                                            1. Ivi kwann nifaniw...

PAUL&SARAH SEHEMU YA KWANZA NA JUMA CHECHEKA

Image
Hii Ni Simulizi Nzuli Sana Ya Mapenzi.                                                                                                                                                Katika Nchi ya Ufiripino; ilikua familia yenye watoto wawili, baba na mama. Siku moja baba na mama wa familia wakiwa wanatoka kanisani kuelekea nyumbani, wakiwa kwenye hatua kama kumi ivi kutoka katika lango lakanisa "Salah" Kama mama wa familia hio na "Paul" Kama baba wa familia hio. "Sarah" alimuona mtu kwa mbali ikiwa amejiegesha kwenye benchi lililokua kalibu kidogo na eneo la kuegesha magali,baada ya kumuona mtu yule "Sarah"alijikuta aki...

MANENO YENYE UHAI SIKU ZOTE HUBAKI KUA HAI

Image
MANENO YENYE UHAI SIKU ZOTE HUBAKI KUA HAI HATA KAMA ALIEONGEA ANGEZIKWA HAI          Vitu hivi 10 ni hatari sana na hupaswi kufanya au kurudia katika maisha yako yote: 1. Kuhifadhi Chuki Na Vinyongo. Ukiweka chuki, roho mbaya dhidi ya mtu au watu fulani unajiumiza wewe mwenyewe na nafsi yako. Kuweka chuki moyoni mwako ni sawa na kunywa sumu ukidhani kuwa atakufa mtu mwingine. Faridi Kubanda husema hivi, "Chuki humchoma aliyeihifadhi". Chuki ni ujinga ambao huzaa uovu utakaokunyima furaha kwenye maisha yako. Samehe, sahau, kua kisha endelea na maisha yako. Kusameha na kusahau ni dalili ya utu uzima, kutokusamehe ni dalili ya utoto. Inatosha kuwa mtoto, ni wakati wa kuwa mtu mzima. 2. Jfunze Kupanga Na Kutimiza Unapanga kufanya kitu fulani kwa muda fulani, muda huo ukifika unapanga tena kufanya muda mwingine. Unapanga kuanzisha biashara mwezi ujao, mwezi ujao ukifika huanzishi unapanga kuanzisha mwezi mwingine. Unapanga kwenda ma...

FURAHA IKO WAPI?

Image
NINI CHA KUFANYA ILI KUA NA FURAHA YA KWERI NA YA KUDUM?👇👇👇👇 FURAHA NA HUZUNI NI SEHEMU YA MAISHA, NA VITU HIVI VIWILI SIKU ZOTE HIKINZANA. ILI KUA NA MOJA KATI VITU HIVI, NI LAZIME UJUE MISINGI ILIOKUA BORA YA KUKIFUATA KINGINE. MAANA YAKE NI KWMBA; ILI KUA NA FURAHA NI LAZIMA UJITENGENEE MAZINGILA BORA YATAKAYOKUEZESHA KUKAA MBALI NA HUZUN. NAJUA UNAJIULIZA MASWALI MENGI, USIJALI NIFUATE HAPO CHINI, NA KWA IMANI YANGU TUTAJIFUNZA MENGI 1.Jifunze Kusamehe. Watu wengi hukosa furaha kutokana na kubeba mizigo ya uchungu na maumivu yaliyotokana na watu waliowakosea. Ikiwa unataka kuwa na furaha ni muhimu kumsamehe aliyekukosea hata kama hajaomba msamaha. Kumsamehe aliyekukosea kuna manufaa kwako zaidi kuliko kwa yule aliyekukosea. Mara nyingi aliyekosea huendelea na maisha yake ya kawaida                                                     ...